SERIKALI
Kupitia Wizara ya Uchukuzi, imetia Saini kwa ajili, ujenzi Meli mbili za Mizigo
katika ziwa Tanganyika na Victoria miradi ambayo imeghalimu zaidi ya Bilioni
600.
Ujenzi wa Miradi hiyo unatazamwa kuwa chachu ya kuinua uchumi wa Mkoa wa Kigoma na Taifa kupia huduma za meli katika maziwa makuu hususani Tanganyika.
Katika Hafla ya utiaji saini wa mikataba mitatu Waziri wa Uchukuzi Mheshimiwa Profesa Makame Mbarawa ameagiza miradi hiyo kuanza haraka na ikamilike kwa wakati.
Mwakilishi wa Mkurugenzi Shirika la uwakala wa Meli Nchini TASAC Nelson Mlali akieleza kuhakikisha wanasimamia ujenzi wa meli hizo kwa ufanisi.
0 Comments