Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu KatibuMkuu Kiongozi Bw. Mululi Majula Mahendeka, Raiswa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua na kumuapisha Bw. Suleiman Abubakar Mombo kuwa Mkurugenzi Mkuuwa Idara ya Usalama wa Taifa.
Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mombo alikuwa AfisaMwandamizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu. Bw. Mombo amechukua nafasi ya Balozi Ali Idi Siwa ambayeamestaafu.
Mwandishi: Sharifa Nyaga
0 Comments