Kenya, Uganda na Tanzania wataandaa pamoja Mashindano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) ya mwaka 2025 Yatakayo anza Februari 1-28, 2025, mashindano ambayo yanahusisha wachezaji kutoka ligi za ndani ya nchi pekee.
Aidha Bw . Patrice Motsepe,ameongeza kuwa mashindano ya mataifa ya Afrika CHAN ni fursa nzuri ya wachezaji wa Afrika inayokuza washindi wajao wa AFCON .
Itakuwa mara ya kwanza kwa Afrika Mashariki kuwa mwenyeji wa mashindano ya kandanda ya kimataifa kwa timu za kitaifa CHAN na itakuwa maandalizi kwa mataifa hayo matatu kuandaa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) la mwaka 2027 Nchi tatu za Afrika Mashariki kuanda mashindano ya CHAN itaongeza timu shiriki hadi kufikia 19 kutoka za awali 18 huku Mechi za kufuzu 19 bora zitaanza tarehe 25 Oktoba na kumalizika mwezi Desemba 2024 .
Bingwa wa mashindano yaliyopita 2023 ni Senegal ambayo alitwaa taji hilo baada ya kuwashinda kwa penati 5-4 wenyeji Algeria,Moroko na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kila moja imewahi kushinda taji la Chan mara mbili tangu kuanzishwa kwake mwaka 2009.
Kenya, Uganda and Tanzania to co-host 2025 CHAN
18th September 2024
September 18 – Kenya, Uganda and Tanzania will co-host the
2025 Africa Nations Championship (CHAN) in February 1-28, 2025, the African
tournament that sees nations select players from their domestic leagues.
The hosting was confirmed by CAF president Patrice Motsepe
earlier this week on a visit to Kenya. The finals had originally been scheduled
for this year.
“CHAN is an excellent opportunity for Africa-based players.
It is a perfect place to groom tomorrow’s winners of the AFCON,” said Motsepe.
“I have no doubt in my mind that Kenya, Uganda and Tanzania
will host the best CHAN in the history of the competition because I have seen
how willing and committed the governments are.”
With three host countries the finals will be expanded to 19
teams. Qualifiers kick off next month.
The hosting is a major step forward for the Kenyan FA who
were awarded the hosting rights in 2018, but lost them for not being ready to
host. The Nyayo and Kasarani Stadia look set to be Kenya’s host stadia with
Kenyan president William Ruto guaranteeing that all facilities will be ready.
Earlier this year the Kenyan FA came close to suspension
from international competition following government interference. Back from the
brink, the Kenyans are now hosting major African tournaments.
0 Comments