Mkuu wa Wilaya Ya kasulu Kanali Mwakisu aendelea na ufuatiliaji wa zoezi la upigaji Kura Kasulu vijiji.



Mkuu wa wilaya wa Wilaya ya Kasulu akiendelea ameendelea kufuatilia hali ya usalama ilivyo wakati zoezi la upigaji kura likiwa linaendelea katika Wilaya yake Tayari amefika katika kituo  Cha Zahanati ya Kabula nzwili  kata ya Kurugongo ,Kasulu vijijini .

Wananchi wakiendelea na zoezi la kupiga kura katika kituo  Cha Zahanati ya Kabulanzwili  kata ya Kurugongo ,Kasulu vijijini.

MwandishiEunice Jacob
Mhariri:Harieth Dominick

Post a Comment

0 Comments