Rais
wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza msamaha kwa Wafungwa 1548 ambapo
Wafungwa 22 kati yao wameachiliwa huru na Wafungwa 1526 wanabaki gerezani kumalizia
sehemu ya kifungo kilichobaki baada ya kupewa msamaha huo leo.
Rais
wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza msamaha kwa Wafungwa 1548 ambapo
Wafungwa 22 kati yao wameachiliwa huru na Wafungwa 1526 wanabaki gerezani kumalizia
sehemu ya kifungo kilichobaki baada ya kupewa msamaha huo leo.
0 Comments