Wanafunzi Kasulu DC wanakabiliwa na Ukatili zaidi

Imeelezwa kuwa ukatili wa kijinsia kwa wananfunzi ni Moja ya sababu kubwa inayowafanya kukatisha masomo 

Hayo yameelezwa timu ya wataalamu wa kampeni ya Msaada wa kisheria ya Samia legal aids kampeni ilipozitembelea shule ya sekondari Rungwe mpya katika kata ya Rungwe mpya na shule ya msingi Bulanzwili kata ya Kulungongo

Afisa usitawi wa jamii ndani ya halmashauri ya wilaya kasulu bi Subira amewasihi wananfunzi kutoa taarifa juu ya ukatili mbalimbali ambao wanaweza kufanyiwa ikiwemo maeneo ya shuleni, mtaani, na majumbani 

Afisa Ustawi wa Jamii Halmashauri ya wilaya ya Kasulu Bi. Subira Swai (kulia) akiteta jambo na afisa wa msaada wa sheria kutoka Samia Legal Aid

Kwa upande wake meatibu wa kampeni hio katika halmashauri ya wilaya kasulu wakili Moses Basila amewataka wananfunzi kutimiza wajibu wao lakini pia kuzitambua haki zao za msingi ili kuepukana na maku ndi 

Ameongeza kwa kuwashauri wanafunzi kuwamini walimu wao katika utoaji wa taarifa kama watakunbana na matatizo ya ukatili mashuleni pamoja na majumbani

Mwandishi: Paul Masanja, Buha News

Post a Comment

0 Comments